Mchekeshaji Joan Rivers amponda mtoto wa Kanye kwa kusema ni "MBAYA"
Mwana mama mchekeshaji Joan Rivers, amemponda
mtoto wa Kanye West, "North West" kwa kusema ni MBAYA, katika vichekesho
vilivyofanyika Saban Theater, january 17, Los Angeles, California.
Huyo mtoto ni "mbaya" alisema Rivers, "sijawahi kuona mtoto wa miezi 6 akihitaji sana kufanya wax kama mtoto wa Kanye".
wax imegeuka kua gumzo kwa watu mpaka kufikia watu wengine kuamini kuwa Kim Kardashian na Kanye wamemtinda nyusi mtoto wao. Kim alikana tuhuma hizo kwa kuandika twee hii
Kim Kardashian ✔ @KimKardashian Follow
Huyo mtoto ni "mbaya" alisema Rivers, "sijawahi kuona mtoto wa miezi 6 akihitaji sana kufanya wax kama mtoto wa Kanye".
wax imegeuka kua gumzo kwa watu mpaka kufikia watu wengine kuamini kuwa Kim Kardashian na Kanye wamemtinda nyusi mtoto wao. Kim alikana tuhuma hizo kwa kuandika twee hii
Kim Kardashian ✔ @KimKardashian Follow
Do people really think I would wax my daughters eyebrows so young? Come on, I'd wait until she's at least 2 1/2!
0 comments:
Post a Comment