CHELSEA WAKUBALI OFA YA £37M KUTOKA MAN UNITED KWA AJILI YA MATA - KUFANYIWA VIPIMO LEO

Ofa ya Manchester United ambayo inaaminika kuwa kiasi cha £37m, imekubaliwa na klabu ya Chelsea kwa ajili ya usajili kiungo wa kihispania Juan Mata.Kiungo mwenye miaka 25 atafanyiwa vipimo vya afya leo Alhamisi kabla ya kukamilisha usajili wake wa kujiunga na mabingwa hao wa EPL.Mata anategemewa kusaini mkataba wa miaka minne na nusu wa kuwepo Old Trafford.Mhispania huyo, ambaye alikuwa mchezaji bora wa Chelsea katika misimu miwili iliyopita, aliwaaga wachezaji wenzie jana Jumatano katika uwanja wa mazoezi wa Chelsea - Cobham.United hata hivyo wameendelea kukaa kimya kuhusu uthibitisho wa dili...
Published By: Shaffih Dauda - Today

0 comments:

Post a Comment

Top 10 Articles

Gallery

PGA Head Teaching Professional

Portfolio