KID INK NEW SONG (NO MIRACLE)


0 comments:

Post a Comment

NICK MINAJ AKIONESHA UZURI WAKE BILA MAKE UP

Nikki Minaj aamua kuonyesha uhalisia wa uzuri wake kupitia picha zake za instagram akiwa hana make up, wigi wala nguo zake tunazomuona nazo kila wakati katika picha zake. Nikki anaonekana akiwa na nguo za kawaida kabisa zinzomfanya aonekane mzuri hatari, ngozi nyororo isiyo na make up kama tulivyomzoea..
                                                 Cheki picha hizo hapo chini


0 comments:

Post a Comment

Kigauni cha LULU chazua balaa Mtandaoni…!!

Mavazi anayovaa msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu,’ sasa yanamuweka matatani kufuatia hivi karibuni kushambuliwa kwa maneno kutokana na kigauni cha kimitego alichokuwa amevaa.

Kigauni hicho ambacho juzikati alionekana nacho mitaa ya Sinza jijini Dar kisha baadaye kukitupia mtandaoni, kimewafanya wengi wahoji anakoelekea msanii huyo anayedai amebadilika.
“Hivi huyu ndiye anayesema amebadilika kweli kwa mavazi haya, mbona anataka kuwapa wakati mgumu wanaume? Ndo ili iweje sasa, ama kweli jasiri haachi asili,” alisema mdau mmoja baada ya kuiona picha hiyo.

Ijumaa lilifanya jitihada za kumtafuta Lulu ili kujua sababu ya kuvaa mavazi hayo lakini simu yake iliita bila kupokelewa.


0 comments:

Post a Comment

Eddie Murphy is still alive - despite what Twitter says


Eddie Murphy did not die this morning, 3AM can confirm.
A twitter rumour erupted over the weekend that the stand-up comedian, who has been the subject of a Twitter death hoax before, had been killed in a freak snowboarding accident.
"Apparently Eddie Murphy is dead! Snowboarding accident," one user wrote.
"I heard that Eddie Murphy is dead today # RIP " said another."
It seems the rumour emerged following Paul Walker's tragic death on Saturday, when fans were refusing to believe the Fast & Furious star had been killed.
"I'm hearing tons of Paul Walker is dead stuff. Well.. keep in mind that Eddie Murphy died 8 times," wrote one user.
"Paul isn't dead, it's a hoax. Same thing happened to Eddie Murphy," said another.
But when it was confirmed that the Fast actor had died, the Eddie rumours just escalated.
But when we contacted his publicist, they confirmed: "Eddie Murphy has not died."
Eddie is the latest in a long line of celebrities to be victim to a Twitter death hoax.
Jackie Chan, George Clooney, Brad Pitt and Russell crow were among them
In 2010, Celine Dion was rumoured to have been killed in a plane crash, and Morgan Freeman was said to have died at his home.



0 comments:

Post a Comment

Forbes: Hawa ndio wachezaji wa 5 wa NBA wanaolipwa mkwanja mrefu 2014 (The NBA's Top Earning Players 2014 )



Kutokana na list iliyotolewa na Forbes, hawa ndio wachezaji wa NBA wanaopata mkwanja mrefu kuliko wote 2014

5. Dwayn Wade -------$ million 30.7
4. Kevin Durant--------$ million 31.8
3. Derrik Rose---------$ million 38.6
2. Lebron James-------$ million 61.1
1. Kobe Bryant--------$ million 64.5

0 comments:

Post a Comment

Justin Bieber Out Of Jail After DUI Arrest Singer released on $2,500 bail after arrest on DUI and resisting arrest charges and admitting to drug and alcohol use.


Bieber, who reportedly admitted to drinking beer, smoking marijuana and taking prescription anti-depressant drugs in the hours before taking the wheel of a rented yellow Lamborghini, was silent while in court dressed in his orange jailhouse jumpsuit, according to an ABC News report.

0 comments:

Post a Comment

Mchekeshaji Joan Rivers amponda mtoto wa Kanye kwa kusema ni "MBAYA"

Mwana mama mchekeshaji Joan Rivers, amemponda mtoto wa Kanye West, "North West" kwa kusema ni MBAYA, katika vichekesho vilivyofanyika Saban Theater, january 17, Los Angeles, California.


 Huyo mtoto ni "mbaya" alisema Rivers, "sijawahi kuona mtoto wa miezi 6 akihitaji sana kufanya wax kama mtoto wa Kanye".

wax imegeuka kua gumzo kwa watu mpaka kufikia watu wengine kuamini kuwa Kim Kardashian na Kanye wamemtinda nyusi mtoto wao. Kim alikana tuhuma hizo kwa kuandika twee hii

  Kim Kardashian         @KimKardashian

Do people really think I would wax my daughters eyebrows so young? Come on, I'd wait until she's at least 2 1/2!
 

0 comments:

Post a Comment

VYAKULA TIBA KWA WAGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO

vidonda vya tumbo, unapaswa kujiepusha na tabia ya kula na kushiba kupita kiasi, kwa sababu kushiba sana huchochea uzalishaji wa asidi nyingi wakati wa usagaji chakula tumboni.

Mbali na hilo, vyakula vyenye mafuta na sukari nyingi na vyenye kiwango kidogo sana cha kamba lishe, imethibitika kuwa husababisha madhara mengi tumboni. Katika makala ya leo, tutaangalia aina ya vyakula anavyopaswa kula au kuviepuka mgonjwa ili kupata nafuu na kuishi bila kusumbuliwa nao:

VYAKULA VYENYE VIUNGO VINGI
Epuka ulaji wa vyakula vilivyopikwa na kuungwa viungo vingi vya aina mbalimbali, kama vile pilipili kali za aina zote na viungo vingine vyenye ladha ya ukali ambavyo hutiwa ndani ya mboga ama chakula ili kuongeza ladha.

POMBE NA KAHAWA
Pombe na kahawa au vinywaji vingine vyenye ‘caffeine’, vinaweza kuleta matatizo kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo na kwa mtu asiye navyo anaweza kupatwa na tatizo, hivyo ni vyema kuepuka au kutumia kwa kiasi kidogo vinywaji hivi. Kimsingi vinywaji hivi huongeza asidi tumboni na hivyo vinaweza kusababisha vidonda au kuzidisha maumivu kwa anayeumwa.
ULAJI CHUMVI
Utafiti uliowahi kufanywa nchini Marekani umeonesha kuwepo kwa uhusiano kati ya ulaji chumvi na vidonda vya tumbo. Mgonjwa anashauriwa kuepuka ulaji wa vyakula vyenye chumvi nyingi, hususan vyakula vya kusindika ambavyo huwekwa chumvi nyingi ili visiharibike haraka. Pia jiepushe na kuongeza chumvi kwenye sahani wakati wa kula.

MAFUTA YA SAMAKI
Baadhi ya utafiti unashauri wagonjwa wa vidonda vya tumbo wale mafuta yatokanayo na samaki (Omega-3 fats) ambayo yameonekana kutoa ahueni kwa wagonjwa. Na kwa mtu ambaye si mgonjwa atakuwa anajiwekea kinga dhidi ya vidonda vya tumbo na magonjwa mengine ya tumbo.

VITAMINI NA MADINI
Ulaji wa vyakula vyenye madini na vitamini kwa wingi husaidia sana kuleta ahueni kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo na kutoa kinga kwa wale ambao hawajaathirika. Wataalamu wa lishe wanashauri kupenda kula matunda na mboga za majani kama vile karoti, juisi ya kabeji, ndizi mbivu, na matunda mengine yenye vitamin C, halikadhalika maziwa ya mbuzi, jibini na cream za maziwa huleta ahueni.
STAILI YA MAISHA NA VIDONDA VYA TUMBO
Licha ya kusabisha Saratani, uvutaji sigara pia huongeza hatari ya mtu kupatwa na ugonjwa wa vidonda vya tumbo, hivyo ni sababu tosha ya kuacha uvutaji sigareti. Japo msongo wa mawazo unaweza kuwa vigumu kuuhusisha moja kwa moja na vidonda vya tumbo, lakini maisha ya wasiwasi, ukichangaya na ulaji mbovu, huweza kusababisha ugonjwa huu, hivyo kama unataka kujiepusha au kupunguza makali ya ugonjwa huu, ni muhimu kuzingatia ulaji sahihi na kuishi maisha ya furaha


0 comments:

Post a Comment

Ana umri wa miaka 12, aolewa kwa ng’ombe 15

Mtoto huyo ambaye jina lake tumelihifadhi kutokana na sababu za kimaadili, hajui kiswahili  vizuri, hivyo nalazimika kumuomba mtoto mwenzake, Stela Paulo aje anisaidie kuongea naye.

Kiteto. Wamasai ni miongoni wa jamii chache duniani, ambazo zimefanikiwa hadi sasa kudumisha mila zake. Katika mila za jamii hii, zipo ambazo zinapaswa kuendelezwa na nyingine zinapaswa kupigwa marufuku.
Miongoni mwa mila ambazo zinapaswa kuendelezwa ni pamoja na kuendelea kutambua na kuheshimu viongozi wa mila ‘Laigwanaji’ kuheshimu viongozi wa rika na Serikali, kuishi kwa umoja na kudumisha tamaduni.
Mila ambazo zimepitwa na wakati katika jamii hii ni pamoja na kurithi wajane, ukeketaji watoto na kuoa watoto wadogo.
Katika makala hii, leo nitazungumzia mila ya kuoa watoto wadogo kama nilivyobaini katika vijiji kadhaa wanapoishi Wamasai, wilayani Kiteto, Mkoa wa Manyara.
Nikiwa katika uchunguzi wa mapigano baina ya wafugaji wa Kimasai na wakulima katika vijiji saba vinavyozunguka eneo la Hifadhi ya Emborey Murtangosi nakutana na mtoto wa miaka 12 aliyeolewa.
Nilipata bahati ya kufika katika familia ya mtoto huyu, katika Kitongoji cha Ndiligishi kaya ya Engusero Sidani baada ya kuwa ni moja ya familia ambazo zimeathirika na mapigano baada ya kuchomewa makazi na kuibiwa vyakula.
Wakati nahojiana na wanafamilia napata fursa ya kuonana na mtoto huyo aliyegeuzwa kuwa mke, nashawishika kumuhoji baada ya kuona akiwa amejitenga na watoto wenzake huku akiwa na mawazo.
Mtoto huyo ambaye jina lake tumelihifadhi kutokana na sababu za kimaadili, hajui kiswahili  vizuri, hivyo nalazimika kumuomba mtoto mwenzake, Stela Paulo aje anisaidie kuongea naye.
Ananieleza kuwa yeye ni mke wa Lembau Leseri  na ameolewa  mke wa pili na ana miaka miwili ya ndoa.
Akiwa  anaonekana kutokuwa na raha ya maisha, mtoto huyo anasema wazazi wake, ndio walimpeleka kwa mwanaume baada ya kupewa mahali.
Anasema hajui kusoma wala kuandika kwani hakufanikiwa kupelekwa shule na wazazi wake.
Ninapomdadisi kama angependa kusoma, anasema angepata fursa hiyo angefurahi lakini sasa haiwezekani tena kwani ni mke mtu.

0 comments:

Post a Comment

Justin Bieber was arrested and charged with driving under the influence, resisting arrest, and driving with an expired license, Miami Beach police said.

  
 
Justin Bieber was allegedly under the influence of alcohol, prescription drugs, and marijuana when he was arrested, according to Miami Beach police.
Miami Beach police confirmed the arrests Bieber and Khalil Sharief, a rapper signed to Def Jam Records, in tweets from the department’s official account.
Police said Bieber was in a yellow rented Lamborghini and drag racing with Khalil. According to the police report, officers saw two cars racing at 4:09 a.m. Thursday. The two were seen doing 55–60 mph in a 30 mph residential zone.
Bieber failed a field sobriety test and was taken to the Miami Beach police station for a Breathalyzer, police said. Bieber and Khalil were transported to the Miami-Dade County jail.
According to the police report, Bieber initially was not cooperative when the officer pulled him over, asking, “What the fuck did I do?”
The report states that Bieber refused to get out of his car and later would not take his hands out of his pockets.
When the officer told Bieber he would have to perform a “cursory pat down,” the singer allegedly said, “I ain’t got no fucking weapons. Why do you have to search me? What the fuck is this about?”
Bieber was represented by celebrity attorney Roy Black when he appeared in Miami-Dade Circuit court Thursday afternoon. A judge set his bond at $2,500.



Here’s Bieber appearing via video conference before Judge Joseph P. Farina, where his bond was set at $2,500.

 

0 comments:

Post a Comment

Wolper:Ally Kiba ndiye alinitambulisha kwenye Ulimwengu Mtamu wa Mapenzi

 Muingizaji wa filamu nchini,Jacklyn Wolper amesema pamoja na kuwa na mahusiano na wasanii wenzake akiwemo Diamond,Jux. lakini Ally Kiba ndiye msanii pekee aliyemtambulisha kwenye ulimwengue wa mtamu wa mapenzi.

Akiongea na Global Publishers,muingizaji huyo alisema aliachana na Ally Kiba kwasababu ya wanawake wengi walikuwa wakimtamani kimapenzi.

 ' “Ni kitambo kidogo. Wote hatukuwa mastaa lakini yeye alifanikiwa kuchomoka. Kabla ya Ali (Kiba) nilikuwa na mwanaume lakini hatukuduu kwa maana ya utu uzima, ilikuwa yale ya kitoto. Lakini Ali ndiye hasa aliyeniingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi'Alisema Wolper

 “Ali akawa staa. Alipokwenda nje nikasikia wanawake wanamshobokea. Sasa mimi sikutaka karaha nikakaa pembeni lakini jamaa ni mtu poa sana na tukikutana tunasalimiana freshi kabisa.”alisema Wolper


 Vipi kuhusu Jux?
  “Jux (msanii wa Bongo Fleva, Juma Khalid) nilikuwa naye kabla ya Dallas na yule
mwanaume wangu niliyeachana naye wakati wa Dallas. Katika maisha yangu nilimpenda sana Jux. Siyo marioo ni mwanaume mtafutaji aliyejiamini. Kwa sasa sipo naye. Dallas pia alichangia mimi kuachana na Jux,”alisema.



 “Ni kweli niliwahi kuwa na Diamond (msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul). Tulikuwa na uhusiano lakini pia alikuwa mshirika wa kibiashara (hataki kuitaja). Yeye alikuwa hawezi kulala bila kuniona, lakini tulikaa kama mwezi mmoja, kwa sasa amebaki kuwa rafiki yangu na siyo mpenzi tena kama zamani,” alisema Wolper.




0 comments:

Post a Comment

Hili ndilo jumba jipya la Rick Ross, lina vyumba 106
















Kiongozi wa Maybach Music Group Rick Ross is kweli kwa sasa anaishi maisha ya a certified boss baada ya kuripotiwa kudondosha mamilini ya dola kununua  bonge la mansion lililokuwa likimilikiwa na mcheza ndondi wa zamani  Evander Holyfield, kwa ripoti zinavyodai, jumba hilo kwasasa linamilikiwa na Ricky Ross.

0 comments:

Post a Comment

CHELSEA WAKUBALI OFA YA £37M KUTOKA MAN UNITED KWA AJILI YA MATA - KUFANYIWA VIPIMO LEO

Ofa ya Manchester United ambayo inaaminika kuwa kiasi cha £37m, imekubaliwa na klabu ya Chelsea kwa ajili ya usajili kiungo wa kihispania Juan Mata.Kiungo mwenye miaka 25 atafanyiwa vipimo vya afya leo Alhamisi kabla ya kukamilisha usajili wake wa kujiunga na mabingwa hao wa EPL.Mata anategemewa kusaini mkataba wa miaka minne na nusu wa kuwepo Old Trafford.Mhispania huyo, ambaye alikuwa mchezaji bora wa Chelsea katika misimu miwili iliyopita, aliwaaga wachezaji wenzie jana Jumatano katika uwanja wa mazoezi wa Chelsea - Cobham.United hata hivyo wameendelea kukaa kimya kuhusu uthibitisho wa dili...
Published By: Shaffih Dauda - Today

0 comments:

Post a Comment

How to Get a Six Pack in 3 Minutes




Hey guys,
Today I am going to tell you my secret on how to get a six pack in 3 minutes.  Sounds too good to be true, right?
Now, I am going to be upfront with you and let you know that no matter how awesome I am… unless you get an ab transplant, you’re not going to get a six pack in literally three minutes.  That would be pretty awesome though.
I do want to let you know that if you do the right type of consistent training, keep a healthy diet, and you stay positive, I can show you how to get a six pack in 3 minutes!  Well… with just three minutes of intense training a day, in addition to lifting weights at least four times a week for just 30 minutes.  This 3 minute six pack routine, is a perfect type of workout for someone who is in a time crunch, but still wants to make that extra push toward getting six pack abs.
These are the three secrets that show you how to get a six pack in 3 minutes:
1) You can’t rest.
For these 3 minutes, you need to give it your all.  It is going to be a non-stop push to the finish, but just think about how quick it will be done and how accomplished you will feel, being one step closer to having six pack abs.
2) Squeeze your abs the entire 3 minutes.
Squeezing your abs is not only going to help you get rid of stubborn belly fat, it is also going to increase your caloric burn during this 3 minute workout!( http://www.livestrong.com/article/479681-does-tightening-your-stomach-make-you-get-abs/)
3) Condition like an MMA fighter.
The video below is going to show you how to train like an MMA fighter.  Talk about beastly, right?  It is going to help you go hard core for 3 minutes and get you one step closer to having six pack abs.
Now that you know the three secrets that show you how to get a six pack in 3 minutes, I want you to put them to work!  These three little secrets and 3 minute workout could be the difference between getting six pack abs next month or months from now, so take advantage of them

0 comments:

Post a Comment

A single beautful giraffe in the Wild. Visit Tanzania and its national park.Visit national parks of TANZANIA


0 comments:

Post a Comment

TUNAOMBA RADHI PICHA SI NZURI: TAZAMA PICHA KUMI (10) ZA AJILI MBAYA ILIYOTOKEA SINGIDA NA KUUWA WATU 13 PAPOHAPO.

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isuna tarafa ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, wakitoa miili ya abiria wa Noah T.730 BUX waliofariki baada ya gari hilo kugongwa na lori aina ya Scania T.687 AXB kwenye barabara kuu ya Singida – Dodoma leo

Baadhi ya miili ya abiria wa Noah T,730 BUX waliofariki leo kwenye ajali iliyotokea eneo la kijiji cha Isuna tarafa ya Ikungi wilaya ya Ikungi.


0 comments:

Post a Comment

Eminem - The Monster (Explicit) ft. Rihanna

0 comments:

Post a Comment

Jaguar Kioo (Official Video) Main Switch

0 comments:

Post a Comment

LIGI KUU ENGLAND STAMFORD BRIDGE: MAN UNITED YAPIGWA 3-1, UBINGWA….BAI BAI??

Sunday, 19 January 2014 20:59 E-mail Print PDF >>WADAU WADAI KILICHOBAKI SASA NI KUPIGANIA 4 BORA TU! >>HETITRIKI YA GWIJI WA CAMEROUN, ETO’O, YAIUA UNITED! MATOKEO Jumapili Januari 19 Swansea 1 Tottenham 3 Chelsea 3 Man United 1 ++++++++++++++++++++++ ETOO_IN_CHELSEA2MABINGWA Manchester United walitawala Kipindi cha Kwanza na kujikuta wako nyuma kwa Bao 2-0 dhidi ya Chelsea, Bao zote zikifungwa na Gwiji wa Cameroun Samuel Eto’o, kwenye Mechi ya Ligi Kuu England iliyochezwa Stamford Bridge waliyomaliza kwa kipigo cha Bao 3-1 ambacho kwa Wadau wao huenda kimehakikisha kwamba hawawezi tena kutetea Taji lao kwani sasa wako Pointi 14 nyuma ya Vinara Arsenal huku zimebaki Mechi 16. Pengine kilichobaki kwao sasa ni kuwania kumaliza ndani ya 4 bora ili wafuzu kucheza UEFA CHAMPIONZ LIGI Msimu ujao kwani wapo Pointi 6 tu nyuma ya Nafasi hiyo ya 4. Chelsea walipata Bao lao la kwanza katika Dakika ya 17, bila kutegemewa kwani Man United ndio waliokuwa juu kimchezo, baada ya uzembe wa kutomkaba Samuel Eto'o ambae alipokea Mpira wa kurushwa na kumhadaa kirahisi Phil Jones kisha kupiga Shuti la Mita 20 na kumbabatiza Mchael Carrick na kumpoteza Kipa De Gea. Bao la Pili lilifungwa kwenye Dakika ya 45 na Eto’o kufuatia ulinzi duni baada Kona kupigwa na kuokolewa na Mpira kumkuta Ramires aliempasia Cahill aliemsogezea Eto’o na kupachika kilaini. Bao la 3 lilipigwa tena na Eto’o, ni Hetitriki kwake, kufuatia Kona ya Dakika ya 49 iliyounganishwa na Cahill na kuokolewa na De Gea na kutua miguuni mwa Eto’o ambae alimalizia kilaini kwa mara nyingine. Javier Hernandez ‘Chicharito’ aliifungia Bao lao pekee Man United katika Dakika ya 78 kufuatia kazi njema ya Danny Welbeck kumfikia Phil Jones ambae shuti lake lilionekana kutokuwa na madhara hadi alipochomoza Chicharito. Man United walimaliza Mechi hii Mtu 10 baada Nahodha wao Nemanja Vidic kupewa Kadi Nyekundu kwa Rafu mbaya kwa Eden Hazard.
VIKOSI: CHELSEA: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Luiz, Willian, Oscar, Hazard, Eto'o Akiba: Cole, Lampard, Torres, Mata, Mikel, Matic, Schwarzer.
MAN UNITED: De Gea, Rafael Da Silva, Evans, Vidic, Evra, Jones, Carrick, Valencia, Januzaj, Young, Welbeck Akiba: Giggs, Smalling, Lindegaard, Hernandez, Cleverley, Fletcher, Kagawa.

0 comments:

Post a Comment

MR BLUE AND HIS EX GIRLFRIEND NAJ.! PLUS SULTAN KING

0 comments:

Post a Comment

Snura - nimevurugwa. AyoTV

0 comments:

Post a Comment

Makomando - Kibaba baba ( BONGO FLAVA - RADIO MBAO)

0 comments:

Post a Comment

T-Pain feat. B.o.B - Up Down (Do This All Day) (Explicit)

0 comments:

Post a Comment

T.I., Kendrick Lamar, & B.o.B - 'Memories Back Then' [Behind the Scene)

0 comments:

Post a Comment

Shakira Ft. Rihanna - Can't Remember To Forget You

0 comments:

Post a Comment

Kwanini Diamond yupo na wema sepetu ?


When the president wa wasafi classic meet his  first lady wema sepetu kila kitu seems to go as planned and fans expectations huwa zipo high.Diamond seem to be well atleast when he is with Wema,and fans wa hawa celebrity hapa bongo huwa siku zoke hukaa mkao wa kula kusikilizia suprises  zozote  watakazotoka nazo ,wakati haukupita sana toka wamerudiana na kuweza ku-post on I.G(instagram) some private moment wakiwa pamoja,fans wengi hupenda

This is known to be most popular celeb couple of all time ambayo imeweza kutokea na ikitokea kuwa mambo yameenda kushoto kidogo,the news do tend to travel fast na huwa inatokea mlipuko wa habari kuhusu wawili hao when they do fall apart kitu ambacho ni sawa na pale wanapoamua kurudiana,huwa ni news ya wiki nzima hapa Bongo na kushangaza zaidi ni east africa nzima huwa inaongelea hii couple,hii inaongeza popularity kwao as celebs na hivyo hata mtu mgeni aliyeingia hapa TZ huwa yuko curious kuulizia about the life of this two Celebz and we all know that popularity means business these days.
Jina la Diamond Platmus mbali ya kuwa popular in music industry,limekuwa jina ambalo vijana wengi hapa nchini wamekuwa na mtu wakumuangalia na kila mtu kutaka kuwa kama yeye,the way anavyo dress,anavyo nyoa na hata pozz tu sawa na wema sepetu kila mtu amekuwa anamu-admire kwa jinsi tu alivyo especialy young ladies,unaweza kusema wawili hawa ndio moja ya most influencial couples wa hapa bongo,its like brad pit na Jolie wa hapa Bongo.

They say Celeb couple huwa hawawezi kukaa katika relation muda mrefu,this is one of the reason Diamond and Wema ya ku-date ili waweze kuwa-prove wrong watu wengi wanaoamini huo msemo,mbali ya kuachana na nakurudiana mara kwa mara wawili hawa wamekuwa na drama zakutosha,as celebz they always do ila kwa hawa inaoneana kama bado mapenzi yao yapo pale pale no matter how many times they broke up,the record says they are back together and its official now.

0 comments:

Post a Comment

Top 10 Articles

Gallery

PGA Head Teaching Professional

Portfolio