Nikki Minaj aamua kuonyesha uhalisia wa uzuri wake kupitia picha zake za instagram akiwa hana make up, wigi wala nguo zake tunazomuona nazo kila wakati katika picha zake. Nikki anaonekana akiwa na nguo za kawaida kabisa zinzomfanya aonekane mzuri hatari, ngozi nyororo isiyo na make up kama tulivyomzoea..
                                                 Cheki picha hizo hapo chini


Mavazi anayovaa msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu,’ sasa yanamuweka matatani kufuatia hivi karibuni kushambuliwa kwa maneno kutokana na kigauni cha kimitego alichokuwa amevaa.

Kigauni hicho ambacho juzikati alionekana nacho mitaa ya Sinza jijini Dar kisha baadaye kukitupia mtandaoni, kimewafanya wengi wahoji anakoelekea msanii huyo anayedai amebadilika.
“Hivi huyu ndiye anayesema amebadilika kweli kwa mavazi haya, mbona anataka kuwapa wakati mgumu wanaume? Ndo ili iweje sasa, ama kweli jasiri haachi asili,” alisema mdau mmoja baada ya kuiona picha hiyo.

Ijumaa lilifanya jitihada za kumtafuta Lulu ili kujua sababu ya kuvaa mavazi hayo lakini simu yake iliita bila kupokelewa.



Eddie Murphy did not die this morning, 3AM can confirm.
A twitter rumour erupted over the weekend that the stand-up comedian, who has been the subject of a Twitter death hoax before, had been killed in a freak snowboarding accident.
"Apparently Eddie Murphy is dead! Snowboarding accident," one user wrote.
"I heard that Eddie Murphy is dead today # RIP " said another."
It seems the rumour emerged following Paul Walker's tragic death on Saturday, when fans were refusing to believe the Fast & Furious star had been killed.
"I'm hearing tons of Paul Walker is dead stuff. Well.. keep in mind that Eddie Murphy died 8 times," wrote one user.
"Paul isn't dead, it's a hoax. Same thing happened to Eddie Murphy," said another.
But when it was confirmed that the Fast actor had died, the Eddie rumours just escalated.
But when we contacted his publicist, they confirmed: "Eddie Murphy has not died."
Eddie is the latest in a long line of celebrities to be victim to a Twitter death hoax.
Jackie Chan, George Clooney, Brad Pitt and Russell crow were among them
In 2010, Celine Dion was rumoured to have been killed in a plane crash, and Morgan Freeman was said to have died at his home.





Kutokana na list iliyotolewa na Forbes, hawa ndio wachezaji wa NBA wanaopata mkwanja mrefu kuliko wote 2014

5. Dwayn Wade -------$ million 30.7
4. Kevin Durant--------$ million 31.8
3. Derrik Rose---------$ million 38.6
2. Lebron James-------$ million 61.1
1. Kobe Bryant--------$ million 64.5


Bieber, who reportedly admitted to drinking beer, smoking marijuana and taking prescription anti-depressant drugs in the hours before taking the wheel of a rented yellow Lamborghini, was silent while in court dressed in his orange jailhouse jumpsuit, according to an ABC News report.
Mwana mama mchekeshaji Joan Rivers, amemponda mtoto wa Kanye West, "North West" kwa kusema ni MBAYA, katika vichekesho vilivyofanyika Saban Theater, january 17, Los Angeles, California.


 Huyo mtoto ni "mbaya" alisema Rivers, "sijawahi kuona mtoto wa miezi 6 akihitaji sana kufanya wax kama mtoto wa Kanye".

wax imegeuka kua gumzo kwa watu mpaka kufikia watu wengine kuamini kuwa Kim Kardashian na Kanye wamemtinda nyusi mtoto wao. Kim alikana tuhuma hizo kwa kuandika twee hii

  Kim Kardashian         @KimKardashian

Do people really think I would wax my daughters eyebrows so young? Come on, I'd wait until she's at least 2 1/2!
 

Top 10 Articles

Gallery

PGA Head Teaching Professional

Portfolio